TTCL ilivyoshiriki Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani

March 11, 2015

TTCL na Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani TTCL na Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete, mawaziri na viongozi wa mkoa wa Morogoro wakipokea maandamano ya akina mama katika viwanja vya Jamhuri mkoani Morogoro. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete, mawaziri na viongozi wa mkoa wa Morogoro wakipokea maandamano ya akina mama katika viwanja vya Jamhuri mkoani Morogoro.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya akina mama baada ya kutembelea banda la TTCL kwenye maadhimisho hayo. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya akina mama baada ya kutembelea banda la TTCL kwenye maadhimisho hayo.Picha ya pamoja ya baadhi ya akina mama na viongozi wa mkoa waliohudhuria katika siku yao muhimu. Picha ya pamoja ya baadhi ya akina mama na viongozi wa mkoa waliohudhuria katika siku yao muhimu.Akina mama kutoka TTCL wakiwa na bango lao lililobeba ujumbe wa maadhimisho ya siku wa wanawake duniani mwaka huu.  Akina mama kutoka TTCL wakiwa na bango lao lililobeba ujumbe wa maadhimisho ya siku wa wanawake duniani mwaka huu.
Akina mama kutoka TTCL wakiwa na bango lao lililobeba ujumbe wa maadhimisho ya siku wa wanawake duniani mwaka huu.  Akina mama kutoka TTCL wakiwa na bango lao lililobeba ujumbe wa maadhimisho ya siku wa wanawake duniani mwaka huu.kina mama kutoka TTCL wakiwa na bango lao lililobeba ujumbe wa maadhimisho ya siku wa wanawake duniani mwaka huu.  kina mama kutoka TTCL wakiwa na bango lao lililobeba ujumbe wa maadhimisho ya siku wa wanawake duniani mwaka huu.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »