TTCL na Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani. Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete, mawaziri na
viongozi wa mkoa wa Morogoro wakipokea maandamano ya akina mama katika
viwanja vya Jamhuri mkoani Morogoro. Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete
akisalimiana na baadhi ya akina mama baada ya kutembelea banda la TTCL
kwenye maadhimisho hayo. Picha ya pamoja ya baadhi ya akina mama na viongozi wa mkoa waliohudhuria katika siku yao muhimu. Akina mama kutoka TTCL wakiwa na bango lao lililobeba ujumbe wa maadhimisho ya siku wa wanawake duniani mwaka huu.
Akina mama kutoka TTCL wakiwa na bango lao lililobeba ujumbe wa maadhimisho ya siku wa wanawake duniani mwaka huu. kina mama kutoka TTCL wakiwa na bango lao lililobeba ujumbe wa maadhimisho ya siku wa wanawake duniani mwaka huu.