MWENYEKITI WA CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI WANAWAKE MKOA WA TANGA(TWMO)BERTHA MWAMBELA AKIZUNGUMZA NENO BAADA YA KUKABIDHI VIFAA HIVYO KWA MKUU WA WILAYA YA TANGA. |
WA PILI KUTOKA KUSHOTO NI MJUMBE WA CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI WANAWAKE MKOA WA TANGA (TWMO) AKITOA NENO BAADA YA KUKABIHDI MABATI HAYO |
WAKINA MAMA WAKIFUATILIA MAADHIMISHO |
WAKINA MAMA WA MSANJA WAKIWAJIBIKA. |