CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI WANAWAKE MKOA WA TANGA(TWMO) WAIPIGA TAFU HALMASHAURI UJENZI WA MAABARA

March 11, 2015
 Mkuu wa wilaya ya Tanga,Abdula Lutavi akipokea mabati zaidi ya 20 kutoka kwa Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari mkoa wa Tanga(TWMO) Bertha Mwambela ikiwa ni
juhudi ya chama hicho kuunga mkono agizo la Rais Kikwete kwa ajili ya ujenzi wa maabara katika shule mbalimbali wilayani ya Tanga
Mkuu wa wilaya ya Tanga,Abdula Lutavi kushoto akimkabidhi mabati 20 yalitotolewa na chama cha Waandishi wanawake Mkoa wa Tanga(TWMO) kwa ajili ya ujenzi wa maabara katika shule mbalimbali jijini Tanga.

MWENYEKITI WA CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI WANAWAKE MKOA WA TANGA(TWMO)BERTHA MWAMBELA AKIZUNGUMZA NENO BAADA YA KUKABIDHI VIFAA HIVYO KWA MKUU WA WILAYA YA TANGA.
WA PILI KUTOKA KUSHOTO NI MJUMBE WA CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI WANAWAKE MKOA WA TANGA (TWMO) AKITOA NENO BAADA YA KUKABIHDI MABATI HAYO
WAKINA MAMA WAKIFUATILIA MAADHIMISHO
WAKINA MAMA WA MSANJA WAKIWAJIBIKA.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »