Msanifu majengo Peter Laiser akiwaonesha ramani ya mchoro wa ujenzi huo.(Picha zote na wizara ya afya na ustawi wa jamii)
Muonekano wa jengo la wagonjwa wa
nje(mapokezi) la hospitali ya rufaa ya kanda ya kusini mikoani
mtwara.hadi kukamilika jengo hili litagharimu shilingi billioni 4 na
litakua ni la ghorofa tatu.