Naibu Waziri wizara ya afya na ustawi wa jamii atembelea ujenzi wa hospitali ya rufaa ya kanda ya kusini

March 17, 2015

1
Msanifu majengo Peter Laiser akiwaonesha ramani ya mchoro wa ujenzi huo.(Picha zote na wizara ya afya na ustawi wa jamii)
4 5
Muonekano wa jengo la wagonjwa wa nje(mapokezi) la hospitali ya rufaa ya kanda ya kusini mikoani mtwara.hadi kukamilika jengo hili litagharimu shilingi billioni 4 na litakua ni la ghorofa tatu.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »