HOSPITALI YA MKOA WA TANGA BOMBO YAWAFARIJI WAKINA MAMA WAJAWAZITO

March 20, 2015
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Dr.Asha Mahita
akigawa zawadi ya sabuni katika wodi ya wakina mama wajawazito katika hospitali ya Mkoa wa Tanga, Bombo jana ikiwa ni muendelezo wa maadhimisho ya siku ya utepe mweupe ambapo wenye lengo la kupunguza vifo vya wakina mama wajawazito ambapo zaidi ya sabuni 150 ziligawiwa,


kulia ni Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Asha Mahita akisaidiana,Mratibu wa RedCros Mkao wa Tanga,Shaloo kugawa zawadi za sabuni katika wodi ya wakina mama
wajawazito katika hospitali ya mkoa wa Tanga Bombo ikiwa ni muendelezo wa maadhimisho ya siku ya utepe mweupe ambapo wenye lengo la kupunguza vifo vya wakina mama wajawazito ambapo zaidi ya sabuni 150ziligawiwa.


Share this

Related Posts

Previous
Next Post »