HIVI NDIVYO BAWACHA TANGA WALIVYOSHEHEREKEA SIKUKUU YA WANAWAKE DUNIANI KWA KUWAFARIJI WATOTO YATIMA JIJINI TANGA.

March 09, 2015

Katibu wa Baraza laWanawake Chadema mkoa wa
Tanga(Bawacha)Recho Sadick akizungumza na watoto wanaolelewa kwenye kituo cha Casafamilia Losseta kilichopo Kata ya Central eneo la Raskazone jijini Tanga ikiwa ni siku ya wanawake duniani


Katibu wa Baraza laWanawake Chadema mkoa wa
Tanga(Bawacha)Recho Sadick  akizungumza na mtoto anaolelewa kwenye kituo cha Casafamilia Losseta kilichopo Kata ya Central eneo la Raskazone jijini Tanga ikiwa ni siku ya wanawake duniani

Katibu wa Baraza laWanawake Chadema mkoa wa
Tanga(Bawacha)Recho Sadick akiimba wimbo na watoto wanaolelewa kwenye kituo cha Casafamilia Losseta kilichopo Kata ya Central eneo la Raskazone jijini Tanga ikiwa ni siku ya wanawake duniani

Katibu wa Baraza laWanawake Chadema mkoa wa
Tanga(Bawacha)Recho Sadick wa kwanza kushoto aliyevalia shati la kaki akiimba wimbo na watoto wanaolelewa kwenye kituo cha Casafamilia Losseta kilichopo Kata ya Central eneo la Raskazone jijini Tanga ikiwa ni siku ya wanawake duniani



Katibu wa Baraza laWanawake Chadema mkoa wa
Tanga(Bawacha)Recho Sadick wa kwanza kulia aliyevalia shati la kaki akiwa amesmhika mmmoja kati ya watoto wanaolelewa kwenye kituo cha Casafamilia Losseta kilichopo Kata ya Central eneo la Raskazone jijini Tanga ikiwa ni siku ya wanawake duniani





  KATIBU wa Baraza la Wanawake Chadema
Mkoa wa Tanga (Bawacha), Recho Sadick kushoto akimkabidhi zawadimbalimbali mlezi wa kituo cha kulea watoto cha Casa Familia Lossetakilichopo Kata ya Central eneo la Raskazone jijini Tanga ikiwa ni sikuya wanawake dunia jana


Share this

Related Posts

Previous
Next Post »