Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akisalimiana na Mwenyekiti wa Kampuni ya Vigor Turky Salim Hassan Turky
wakati alipofika kufungua Hospitali ya Global Hospital iliyopo Mtaa wa
Vuga Mjini Unguja leo,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akikata utepe kuifungua Hospitali ya Global Hospital iliyopo Mtaa wa Vuga Mjini Unguja leo (kushoto ni Dkt,K.Ravindranath
Daktari Mkuu na Mwenyekiti wa Kampuni ya Global Hospital (kulia)
Mwenyekiti wa Kampuni ya Vigor Turky Salim Hassan Turky, [Picha na
Ikulu.]
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(wa pili kulia) akipata maelezo alipotembelea mashine ya Xray baada ya kuifungua Hospitali ya Global Hospital iliyopo Mtaa wa Vuga Mjini Unguja leo (wa kwanza kulia) Dkt,K.Ravindranath Daktari Mkuu na Mwenyekiti wa Kampuni ya Global Hospital,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiwa na Daktari Mkuu na Mwenyekiti wa Kampuni ya Global Hospital Dkt,K.Ravindranath(wa pili kulia) na Mwenyekiti wa Kampuni ya Vigor Turky Salim Hassan Turky wakiangalia mashine ya kufanyia Upasuaji wakati alipotembelea Hospitali ya Global Hospital iliyopo Mtaa wa Vuga Mjini Unguja leo baada ya kuifungua rasmi, [Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Daktari Mkuu na Mwenyekiti wa Kampuni ya Global Hospital Dkt,K.Ravindranath (kulia) wakati alipotembelea sehemu mbali mbali za kutoa huduma katika Hospitali ya Global Hospital iliyopo Mtaa wa Vuga Mjini Unguja leo baada ya kuifungua rasmi, [Picha na Ikulu.]
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(wa pili kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Mwakilishi wa Mwakilishi wa
Kampuni ya Global Hospital ya India Dkt.Nagesh Rao (kulia) wakati
alipotembelea katika vyumba vya upasuaji vyenye mashine za kisasa baada
ya kuifungua Hospitali ya Global Hospital iliyopo Mtaa wa Vuga Mjini Unguja leo (katikati) Mwenyekiti wa Kampuni ya Vigor Turky Salim Hassan Turky,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (wa pili kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Daktari Mkuu na Mwenyekiti wa Kampuni ya Global Hospital ya India Dkt,K.Ravindranath (katikati) wakati alipotembelea chumba cha wagonjwa mahututi (Theatre) baada ya kuifungua Hospitali ya Global Hospital iliyopo Mtaa wa Vuga Mjini Unguja leo (kulia) Mkurugenzi wa Hospitali ya Mnazi Mmoja Dk.Jamala A.Taibu,[Picha na Ikulu.]
Baadhi ya Madaktar na waalikwa katika sherehe ya ufunguzi wa Hospitali ya Global Hospital iliyopo Mtaa wa Vuga Mjini Unguja wakimsikiliza Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(hayupo pichani) alipokuwa akitoa hutuba yake ya ufunguzi wa Hospitali
hiyo leo, [Picha na Ikulu.]
Mwenyekiti wa Kampuni ya Vigor Turky Salim Hassan Turky akitoa salamu zake mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) baada kuifungua Hospitali ya Global Hospital iliyopo Mtaa wa Vuga Mjini Unguja leo,[Picha na Ikulu.]
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kulia) alipokuwa akitoa hutuba yake wakati wa sherehe za ufunguzi wa
Hospitali ya Global Hospital iliyopo Mtaa wa Vuga Mjini Unguja leo
inayomilikiwa na Kampuni ya Vigor Turky ya hapa Zanzibar ambayo itatoa
huduma za Maradhi mbali mbali,[Picha na Ikulu.]
Baadhi ya Viongozi wa Serikali na taasisi mbali mbali na waalikwa wakimsikiliza Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(hayupo pichani) alipokuwa akitoa hutuba yake wakati wa sherehe za
ufunguzi wa Hospitali
ya Global Hospital iliyopo Mtaa wa Vuga Mjini Unguja leo inayomilikiwa
na Kampuni ya Vigor Turky ya hapa Zanzibar ambayo itatoa huduma za
Maradhi mbali mbali,[Picha na Ikulu.]
EmoticonEmoticon