Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiangalia ramani
ya ujenzi wa Barabara za Kiashange -Kijini-Mbuyutende na Matemwe-Muyuni
Mkoa wa Kaskazini Unguja inayojengwa na Kampuni ya Pennyroyal Gibraltar
Ltd ambayo inasimamia mradi wa (Amber Golf&Beach Resort) wakati
alipotembelea ujenzi wa barabara leo (wa tatu kushoto) Mkurugenzi na
Mmiliki wa Kampuni ya Pennyroyal Gibraltar Ltd Bw.Brian Thomson na (wapili kulia) Bi Naila Jidawi msemaji Mkuu wa Kampuni hiyo,
[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na
Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Juma Duni Haji wakati alipofika
kutembelea maendeleo ya ujenzi wa Barabara za Kiashange
-Kijini-Mbuyutende na Matemwe-Muyuni Mkoa wa Kaskazini Unguja leo
inayojengwa na Kampuni ya Pennyroyal Gibraltar Ltd,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na Bi Naila Jidawi msemaji Mkuu wa Kampuni Pennyroyal Gibraltar Ltd ya Mradi wa (Amber Golf&Beach Resort)
wakati alipotembelea maendeleo ya ujenzi wa Barabara za Kiashange
-Kijini-Mbuyutende na Matemwe-Muyuni Mkoa wa Kaskazini Unguja leo
inayojengwa na Kampuni ya Pennyroyal Gibraltar Ltd,
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(kushoto) akisalimiana na Wananchi wakati alipotembelea maendeleo ya
ujenzi wa Barabara za Kiashange -Kijini-Mbuyutende na Matemwe-Muyuni
Mkoa wa Kaskazini Unguja leo inayojengwa na Kampuni ya Pennyroyal
Gibraltar Ltd,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi na Mmiliki wa Kampuni ya Pennyroyal Gibraltar Ltd Bw.Brian Thomson leo alipokuwa akiangalia
ramani ya ujenzi wa Barabara za Kiashange -Kijini-Mbuyutende na
Matemwe-Muyuni Mkoa wa Kaskazini Unguja inayojengwa na Kampuni hiyo ambayo inasimamia mradi wa (Amber Golf&Beach Resort),
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
(katikati) akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi na Mmiliki wa Kampuni
ya Pennyroyal Gibraltar Ltd Bw.Brian Thomson alipokuwa akiangalia ramani
ya ujenzi wa Barabara za Kiashange -Kijini-Mbuyutende na Matemwe-Muyuni
Mkoa wa Kaskazini Unguja leo inayojengwa na Kampuni hiyo ambayo
inasimamia mradi wa Amber Golf&Beach Resort (kulia) Bi Naila Jidawi msemaji Mkuu wa Kampuni Pennyroyal Gibraltar Ltd (wa pili kushoto) Katibu Mkuu wa Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Dk.Juma Malik Akili.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akizungumza na Wananchi wakati alipotembelea ujenzi wa Barabara za
Kiashange -Kijini-Mbuyutende na Matemwe-Muyuni Mkoa wa Kaskazini Unguja
inayojengwa na Kampuni ya Pennyroyal Gibraltar Ltd, ambayo inasimamia mradi wa Amber Golf&Beach Resort.
Katapila ya Kampuni ya Pennyroyal Gibraltar Ltd likifanya kazi ya kutawanya mlima wa mawe wakati wa ujenzi wa Barabara ya Kiashange -Kijini-Mbuyutende na Matemwe-Muyuni Mkoa wa Kaskazini Unguja inayojengwa na Kampuni hiyo ambayo inasimamia mradi wa Amber Golf&Beach Resort Mkoani humo wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipofanya ziara fupi kutembelea barabara hiyo leo.
EmoticonEmoticon