Mbunge
wa Kigoma Kaskazini Mh. Zitto Zubery kabwe Leo Alikutana na Wazee wa
Jimbo Lake na Kutoa Maamuzi magumu mbele ya wazee hao kama hatogombea
tena Ubunge kwenye jimbo hilo alilolitumikia kwa muongo moja (miaka 10)
huku wazee wakimbariki achukue maamuzi yanayofaa kulingana na hali ya
kisiasa inayoendelea hivi sasa.
"Leo
nimekutana na wazee wa jimbo la kigoma kaskazini na wawakilishi wa
vijiji vyote 45, nimewaaga rasmi kuwa sitagombea ubunge jimbo hilo"
Aliendelea kupost kwenye page yake kama