Mkurugenzi
Mkuu wa Tigo Kanda ya Kaskazini, David Charles akipeana mkono na
Alphonce Felix mara baada kutangaza udhamini wa Kampuni ya Tigo kwa
wanariadha walioshinda mbio za Tigo Ngorongoro Run Marathon mwaka jana
waweze kushiriki mbio za mwaka huu za Tigo Kili Half Marathon
zitakazofanyika tarehe 1 machi Moshi Mkoani Kilimanjaro. Pembeni
anayeshuhudia ni Mwanariadha Mary Naali.
EmoticonEmoticon