WATUMISHI 11 WA MORAVIAN WAKOSA MISHAHARA YA MIEZI MITATU KISA DENI LA MBEYA CITY SOMA HAPA

November 06, 2014


Na Mwandishi  wetu, Mbeya
Watumishi 11 wa Kanisa la  Moraviani Tanzania, Jimbo la Kusin Magharibi,wameshindwa kupata malipo yao ya mishahara kwa miezi mitatu baada ya klabu ya timu ya mbeya city kudaiwa kushindwa kulipa  deni la shilingi milioni 19.

Deni hilo limetokana na Timu hiyo ya  mbeya City  kutumia hostel na malazi, wakati wa maandalizi ya msimu wapili wa ligi kuu ya Vodacom 2013.

Timu hiyo, ambayo iliweza kujizolea mashabiki wengi  ukilinganisha na timu kongwe za Yanga na Simba kwa msimu uliopita, imetajwa kukwamisha baadhi ya shughuli za kanisa hilo pamoja na wafanyakazi 11 kutolipwa mishahara yao, kutokana na kushindwa kulipa kiasi hicho cha fedha kwa wakati.

Akizungumza na blog hii Meneja wa Hosteli Msaidizi, Tuntufye Mwachuga alisema kiasi hicho cha fedha ni malipo ya kipindi cha miezi miwili walichotumia uongozi wa timu hiyo, kipindi cha msimu wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa mwaka 2013.

“Uongozi wa klabu hii ya Mbeya City, walifika ofisini na kuingia mkataba wa wachezaji wake kuweka kambi kwenye hosteli hii  kwa malazi na chakula kilichojumuisha milo mitatu, asubuhi, mchana na jioni kwa kipindi chote cha miezi miwili watakacho kitumia na sisi kukubaliana nao,”alisema.

Alisema, baada ya makubaliano hayo timu ilikaa na kumaliza muda wake huku timu ikifanikiwa kufanya vizuri lakini cha ajabu ni pale, uongozi wa kanisa ulipoanza kufuatilia malipo  na kuanza kupigwa kalenda kitendo ambacho hatujapendezwa nacho.

“Kanisa linaidai klabu ya Mbeya City kiasi cha shilingi milioni 19, 681,000 kwa malipo ya malazi na chakula katika kipindi cha miezi miwili walichotumia wakati walipoweka kambi msimu uliopita  wa ligi kuu ya Vodacom tangu February 3 hadi April 17 mwaka 2014 ,”alisema.

Katibu wa  Mbeya City Emanuel Kimbe
Akizungumzia deni hilo, Katibu wa klabu ya Mbeya City, Emmanuel Kimbe, alikiri uwepo wa deni na kwamba tayari taratibu za malipo zinaendelea.

“Kila Taasisi inayojiendesha hudai na kudaiwa, kwa hiyo Mbeya City kama Taasisi inayojiendesha inadaiwa pia lakini tunaendelea na mchakato wa malipo,”alisema Kimbe.

Alisema, malipo hayo yameanza kufanyika tangu Alhamis na ijumaa ya wiki iliyopita hivyo aliwaomba wadai kuwa wavumilivu.


Hata hivyo, Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya, Mussa Zungiza, akitolea ufafanuzi suala hilo, alisema  halmashauri haihusiki na deni hilo kwani timu ya Mbeya City inauongozi  wake na inajiendesha yenyewe kwa kila kitu.
Mwisho.
chanzo: http://jamiimoja.blogspot.com

WATUMISHI 11 WA MORAVIAN WAKOSA MISHAHARA YA MIEZI MITATU KISA DENI LA MBEYA CITY SOMA HAPA

Written By Jamii Moja on Thursday, November 6, 2014 | 5:40 AM


Na Mwandishi  wetu, Mbeya.
Watumishi 11 wa Kanisa la  Moraviani Tanzania, Jimbo la Kusin Magharibi,wameshindwa kupata malipo yao ya mishahara kwa miezi mitatu baada ya klabu ya timu ya mbeya city kudaiwa kushindwa kulipa  deni la shilingi milioni 19.

Deni hilo limetokana na Timu hiyo ya  mbeya City  kutumia hostel na malazi, wakati wa maandalizi ya msimu wapili wa ligi kuu ya Vodacom 2013.

Timu hiyo, ambayo iliweza kujizolea mashabiki wengi  ukilinganisha na timu kongwe za Yanga na Simba kwa msimu uliopita, imetajwa kukwamisha baadhi ya shughuli za kanisa hilo pamoja na wafanyakazi 11 kutolipwa mishahara yao, kutokana na kushindwa kulipa kiasi hicho cha fedha kwa wakati.

Akizungumza na blog hii Meneja wa Hosteli Msaidizi, Tuntufye Mwachuga alisema kiasi hicho cha fedha ni malipo ya kipindi cha miezi miwili walichotumia uongozi wa timu hiyo, kipindi cha msimu wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa mwaka 2013.

“Uongozi wa klabu hii ya Mbeya City, walifika ofisini na kuingia mkataba wa wachezaji wake kuweka kambi kwenye hosteli hii  kwa malazi na chakula kilichojumuisha milo mitatu, asubuhi, mchana na jioni kwa kipindi chote cha miezi miwili watakacho kitumia na sisi kukubaliana nao,”alisema.

Alisema, baada ya makubaliano hayo timu ilikaa na kumaliza muda wake huku timu ikifanikiwa kufanya vizuri lakini cha ajabu ni pale, uongozi wa kanisa ulipoanza kufuatilia malipo  na kuanza kupigwa kalenda kitendo ambacho hatujapendezwa nacho.

“Kanisa linaidai klabu ya Mbeya City kiasi cha shilingi milioni 19, 681,000 kwa malipo ya malazi na chakula katika kipindi cha miezi miwili walichotumia wakati walipoweka kambi msimu uliopita  wa ligi kuu ya Vodacom tangu February 3 hadi April 17 mwaka 2014 ,”alisema.
Katibu wa  Mbeya City Emanuel Kimbe
Akizungumzia deni hilo, Katibu wa klabu ya Mbeya City, Emmanuel Kimbe, alikiri uwepo wa deni na kwamba tayari taratibu za malipo zinaendelea.

“Kila Taasisi inayojiendesha hudai na kudaiwa, kwa hiyo Mbeya City kama Taasisi inayojiendesha inadaiwa pia lakini tunaendelea na mchakato wa malipo,”alisema Kimbe.
Alisema, malipo hayo yameanza kufanyika tangu Alhamis na ijumaa ya wiki iliyopita hivyo aliwaomba wadai kuwa wavumilivu.

Hata hivyo, Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya, Mussa Zungiza, akitolea ufafanuzi suala hilo, alisema  halmashauri haihusiki na deni hilo kwani timu ya Mbeya City inauongozi  wake na inajiendesha yenyewe kwa kila kitu.
Mwisho.
Stakabadhi ya malipo ambayo Uongozi Mbeya City umelipa hivi karibuni.
- See more at: http://jamiimoja.blogspot.com/2014/11/watumishi-11-wa-moravian-wakosa.html#sthash.rt88cC5c.dpuf

WATUMISHI 11 WA MORAVIAN WAKOSA MISHAHARA YA MIEZI MITATU KISA DENI LA MBEYA CITY SOMA HAPA

Written By Jamii Moja on Thursday, November 6, 2014 | 5:40 AM


Na Mwandishi  wetu, Mbeya.
Watumishi 11 wa Kanisa la  Moraviani Tanzania, Jimbo la Kusin Magharibi,wameshindwa kupata malipo yao ya mishahara kwa miezi mitatu baada ya klabu ya timu ya mbeya city kudaiwa kushindwa kulipa  deni la shilingi milioni 19.

Deni hilo limetokana na Timu hiyo ya  mbeya City  kutumia hostel na malazi, wakati wa maandalizi ya msimu wapili wa ligi kuu ya Vodacom 2013.

Timu hiyo, ambayo iliweza kujizolea mashabiki wengi  ukilinganisha na timu kongwe za Yanga na Simba kwa msimu uliopita, imetajwa kukwamisha baadhi ya shughuli za kanisa hilo pamoja na wafanyakazi 11 kutolipwa mishahara yao, kutokana na kushindwa kulipa kiasi hicho cha fedha kwa wakati.

Akizungumza na blog hii Meneja wa Hosteli Msaidizi, Tuntufye Mwachuga alisema kiasi hicho cha fedha ni malipo ya kipindi cha miezi miwili walichotumia uongozi wa timu hiyo, kipindi cha msimu wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa mwaka 2013.

“Uongozi wa klabu hii ya Mbeya City, walifika ofisini na kuingia mkataba wa wachezaji wake kuweka kambi kwenye hosteli hii  kwa malazi na chakula kilichojumuisha milo mitatu, asubuhi, mchana na jioni kwa kipindi chote cha miezi miwili watakacho kitumia na sisi kukubaliana nao,”alisema.

Alisema, baada ya makubaliano hayo timu ilikaa na kumaliza muda wake huku timu ikifanikiwa kufanya vizuri lakini cha ajabu ni pale, uongozi wa kanisa ulipoanza kufuatilia malipo  na kuanza kupigwa kalenda kitendo ambacho hatujapendezwa nacho.

“Kanisa linaidai klabu ya Mbeya City kiasi cha shilingi milioni 19, 681,000 kwa malipo ya malazi na chakula katika kipindi cha miezi miwili walichotumia wakati walipoweka kambi msimu uliopita  wa ligi kuu ya Vodacom tangu February 3 hadi April 17 mwaka 2014 ,”alisema.
Katibu wa  Mbeya City Emanuel Kimbe
Akizungumzia deni hilo, Katibu wa klabu ya Mbeya City, Emmanuel Kimbe, alikiri uwepo wa deni na kwamba tayari taratibu za malipo zinaendelea.

“Kila Taasisi inayojiendesha hudai na kudaiwa, kwa hiyo Mbeya City kama Taasisi inayojiendesha inadaiwa pia lakini tunaendelea na mchakato wa malipo,”alisema Kimbe.
Alisema, malipo hayo yameanza kufanyika tangu Alhamis na ijumaa ya wiki iliyopita hivyo aliwaomba wadai kuwa wavumilivu.

Hata hivyo, Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya, Mussa Zungiza, akitolea ufafanuzi suala hilo, alisema  halmashauri haihusiki na deni hilo kwani timu ya Mbeya City inauongozi  wake na inajiendesha yenyewe kwa kila kitu.
Mwisho.
Stakabadhi ya malipo ambayo Uongozi Mbeya City umelipa hivi karibuni.
- See more at: http://jamiimoja.blogspot.com/2014/11/watumishi-11-wa-moravian-wakosa.html#sthash.rt88cC5c.dpuf

WATUMISHI 11 WA MORAVIAN WAKOSA MISHAHARA YA MIEZI MITATU KISA DENI LA MBEYA CITY SOMA HAPA

Written By Jamii Moja on Thursday, November 6, 2014 | 5:40 AM


Na Mwandishi  wetu, Mbeya.
Watumishi 11 wa Kanisa la  Moraviani Tanzania, Jimbo la Kusin Magharibi,wameshindwa kupata malipo yao ya mishahara kwa miezi mitatu baada ya klabu ya timu ya mbeya city kudaiwa kushindwa kulipa  deni la shilingi milioni 19.

Deni hilo limetokana na Timu hiyo ya  mbeya City  kutumia hostel na malazi, wakati wa maandalizi ya msimu wapili wa ligi kuu ya Vodacom 2013.

Timu hiyo, ambayo iliweza kujizolea mashabiki wengi  ukilinganisha na timu kongwe za Yanga na Simba kwa msimu uliopita, imetajwa kukwamisha baadhi ya shughuli za kanisa hilo pamoja na wafanyakazi 11 kutolipwa mishahara yao, kutokana na kushindwa kulipa kiasi hicho cha fedha kwa wakati.

Akizungumza na blog hii Meneja wa Hosteli Msaidizi, Tuntufye Mwachuga alisema kiasi hicho cha fedha ni malipo ya kipindi cha miezi miwili walichotumia uongozi wa timu hiyo, kipindi cha msimu wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa mwaka 2013.

“Uongozi wa klabu hii ya Mbeya City, walifika ofisini na kuingia mkataba wa wachezaji wake kuweka kambi kwenye hosteli hii  kwa malazi na chakula kilichojumuisha milo mitatu, asubuhi, mchana na jioni kwa kipindi chote cha miezi miwili watakacho kitumia na sisi kukubaliana nao,”alisema.

Alisema, baada ya makubaliano hayo timu ilikaa na kumaliza muda wake huku timu ikifanikiwa kufanya vizuri lakini cha ajabu ni pale, uongozi wa kanisa ulipoanza kufuatilia malipo  na kuanza kupigwa kalenda kitendo ambacho hatujapendezwa nacho.

“Kanisa linaidai klabu ya Mbeya City kiasi cha shilingi milioni 19, 681,000 kwa malipo ya malazi na chakula katika kipindi cha miezi miwili walichotumia wakati walipoweka kambi msimu uliopita  wa ligi kuu ya Vodacom tangu February 3 hadi April 17 mwaka 2014 ,”alisema.
Katibu wa  Mbeya City Emanuel Kimbe
Akizungumzia deni hilo, Katibu wa klabu ya Mbeya City, Emmanuel Kimbe, alikiri uwepo wa deni na kwamba tayari taratibu za malipo zinaendelea.

“Kila Taasisi inayojiendesha hudai na kudaiwa, kwa hiyo Mbeya City kama Taasisi inayojiendesha inadaiwa pia lakini tunaendelea na mchakato wa malipo,”alisema Kimbe.
Alisema, malipo hayo yameanza kufanyika tangu Alhamis na ijumaa ya wiki iliyopita hivyo aliwaomba wadai kuwa wavumilivu.

Hata hivyo, Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya, Mussa Zungiza, akitolea ufafanuzi suala hilo, alisema  halmashauri haihusiki na deni hilo kwani timu ya Mbeya City inauongozi  wake na inajiendesha yenyewe kwa kila kitu.
Mwisho.
Stakabadhi ya malipo ambayo Uongozi Mbeya City umelipa hivi karibuni.
- See more at: http://jamiimoja.blogspot.com/2014/11/watumishi-11-wa-moravian-wakosa.html#sthash.rt88cC5c.dpuf

WATUMISHI 11 WA MORAVIAN WAKOSA MISHAHARA YA MIEZI MITATU KISA DENI LA MBEYA CITY SOMA HAPA

Written By Jamii Moja on Thursday, November 6, 2014 | 5:40 AM


Na Mwandishi  wetu, Mbeya.
Watumishi 11 wa Kanisa la  Moraviani Tanzania, Jimbo la Kusin Magharibi,wameshindwa kupata malipo yao ya mishahara kwa miezi mitatu baada ya klabu ya timu ya mbeya city kudaiwa kushindwa kulipa  deni la shilingi milioni 19.

Deni hilo limetokana na Timu hiyo ya  mbeya City  kutumia hostel na malazi, wakati wa maandalizi ya msimu wapili wa ligi kuu ya Vodacom 2013.

Timu hiyo, ambayo iliweza kujizolea mashabiki wengi  ukilinganisha na timu kongwe za Yanga na Simba kwa msimu uliopita, imetajwa kukwamisha baadhi ya shughuli za kanisa hilo pamoja na wafanyakazi 11 kutolipwa mishahara yao, kutokana na kushindwa kulipa kiasi hicho cha fedha kwa wakati.

Akizungumza na blog hii Meneja wa Hosteli Msaidizi, Tuntufye Mwachuga alisema kiasi hicho cha fedha ni malipo ya kipindi cha miezi miwili walichotumia uongozi wa timu hiyo, kipindi cha msimu wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa mwaka 2013.

“Uongozi wa klabu hii ya Mbeya City, walifika ofisini na kuingia mkataba wa wachezaji wake kuweka kambi kwenye hosteli hii  kwa malazi na chakula kilichojumuisha milo mitatu, asubuhi, mchana na jioni kwa kipindi chote cha miezi miwili watakacho kitumia na sisi kukubaliana nao,”alisema.

Alisema, baada ya makubaliano hayo timu ilikaa na kumaliza muda wake huku timu ikifanikiwa kufanya vizuri lakini cha ajabu ni pale, uongozi wa kanisa ulipoanza kufuatilia malipo  na kuanza kupigwa kalenda kitendo ambacho hatujapendezwa nacho.

“Kanisa linaidai klabu ya Mbeya City kiasi cha shilingi milioni 19, 681,000 kwa malipo ya malazi na chakula katika kipindi cha miezi miwili walichotumia wakati walipoweka kambi msimu uliopita  wa ligi kuu ya Vodacom tangu February 3 hadi April 17 mwaka 2014 ,”alisema.
Katibu wa  Mbeya City Emanuel Kimbe
Akizungumzia deni hilo, Katibu wa klabu ya Mbeya City, Emmanuel Kimbe, alikiri uwepo wa deni na kwamba tayari taratibu za malipo zinaendelea.

“Kila Taasisi inayojiendesha hudai na kudaiwa, kwa hiyo Mbeya City kama Taasisi inayojiendesha inadaiwa pia lakini tunaendelea na mchakato wa malipo,”alisema Kimbe.
Alisema, malipo hayo yameanza kufanyika tangu Alhamis na ijumaa ya wiki iliyopita hivyo aliwaomba wadai kuwa wavumilivu.

Hata hivyo, Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya, Mussa Zungiza, akitolea ufafanuzi suala hilo, alisema  halmashauri haihusiki na deni hilo kwani timu ya Mbeya City inauongozi  wake na inajiendesha yenyewe kwa kila kitu.
Mwisho.
Stakabadhi ya malipo ambayo Uongozi Mbeya City umelipa hivi karibuni.
- See more at: http://jamiimoja.blogspot.com/2014/11/watumishi-11-wa-moravian-wakosa.html#sthash.rt88cC5c.dpuf

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »