Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia mamia ya wananchi katika
mkutano wa hadhara uliofanyika juzi, Oktoba 7, 2014, katika Kijiji cha
Magozi, Kata ya Ilolo Mpya, akiwa katika ziara ya kukagua na kuhimiza
utekelezaji wa ilani ya CCM katika jimbo la Isimani la Waziri wa Nchi
Ofisi ya Waziri Mkuu, Uratibu na Bunge, William Lukuvi katika wilaya ya
Iringa Vijijini, mkoani Iringa.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA
FULLSHANGWE-ISIMANI-IRINGA)
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana na Lukuvi wakishiriki kufyatua matofali ujenzi wa Zahanati Kijiji cha Magozi Ilolo Mpya
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akikagua ujenzi wa zahanati ya Kijiji
cha Magozi, Kata ya Ilolo Mpya akiwa katika ziara ya kikagua utekelezaji
wa ilani ya CCM katika jimbo la Isimani, wilaya ya Iringa Vijijini leo.
Kushoto ni Mbunge wa jimbo hilo, William Lukuvi
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimsisitizia jambo Lukuvi baada ya
kukagua ujenzi wa zahanati hiyo kutoka kshoto ni Hassan Mtenga Katibu wa
CCM mkoa wa Iringa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Jesca Msambatavangu
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi wa nyumba ya mwalimu shule ya sekondari william Lukuvi Ilolo Mpya.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akihutubia katika mkutano huoMwenyekiti
wa CCM mkoa wa Iringa Jesca Msambatavangu akieleza sera za Chama wakati
akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana kuzungumza na
wananchi kwenye mkutano huo
Mjumbe
wa shina namba sita, Changula Mlula akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM,
Abdulrahman Kinana kwenye kikao cha shina hilo, Kijiji cha Magozi,
Ilolo Mpya jimbo la Isimani. Kulia ni Mbunge wa Isimani William Lukuvi
Mbunge
wa Isimani, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uratibu na Bunge,
William Lukuvi akieleza alivyotekeleza ilani ya CCM wakati wa mkutano
huo
Mbunge wa Isimani William Lukuvi akiwa amemkabidhi kompyuta Mwalimu Mkuu wa shule ya sekondari ya Pawaga Bw. Yusuph Luvanga
Msanii Nyamidela akitumbuiza na wimbo wake maalum unaomzungumzia Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
Mbunge
wa Isimani William Lukuvi akiwa amemkabidhi kompyuta Mwalimu Mkuu wa
shule ya sekondari ya William Lukuvi, iliyopo Kata ya Ilolo Mpya,
Charles Mgimwa (kulia ) wakati wa mkutano huo. Mbali na kuwakabidhi
kompyuta walimu wa shule mbili za sekondari aliwataka wananchi kuwa
tayari kuunganishiwa umeme wa bei nafuu ambao alisema utaaingia kwenye
kata hiyo hivi karibuni.
Mmoja wa wananchi akiuliza swali