DIWANI WA CUF TANGA AJISALIMISHA CCM KWENYE MKUTANO WA HADHARA JIJINI TANGA.

September 02, 2014
Diwani wa Chama cha Wananchi (CUF) kata ya Marungu jijini Tanga,Bakari Mambea aliyejiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM)juzi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Tangamano mkoani Tanga wa pili kutoka kushoto akiwa anaongozwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Taifa Abdallah Bulembo wa pili kulia akila kiapo cha utii kujiunga na viongozi wa CUF waliojiunga na chama hicho kulia ksuhoto kwake ni Mwenyekiti wa CUF mtaa wa makoko jijini Tanga Abubakari Nguli naye alijiunga na chama hicho,wa kwanza kushoto ni Katibu wa CCM Mkoa wa Tanga Gustav Mubba,
MAMBEA AKISALIMIANA NA WANACHAMA WA CCM MARA BAADA YA KUWASILI UWANJANI.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »