USAJILI WA COASTAL UNION U -20 JINSI ULIVYOFANYIKA LEO MAKAO MAKUU YA CLUB HIYO BARABARA KUMI NA MOJA JIJINI TANGA

August 27, 2014
  Katikati ni Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili Coastal Union ,Salima Bawaziri kushoto ni Meneja wa timu ya U -20 ya Coastal Union wakiendelea na harakati za usajili wa timu hiyo ndogo jana.




Wachezaji wa kikosi cha pili cha U-20 ya Coastal Union ya Tanga wakimsiliza Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Coastal Union Salim Bawaziri ambaye hayupo pichani leo

hapa akisisitiza jambo Bawaziri kulia ni Katibu wa Tawi la Coastal Union Nyumba

Baada ya usajili mazungumzo yakaanza .

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »