BASI DOGO AINA YA COASTER LAPATA AJALI MOMBO NA KUJERUHI KADHAA

May 08, 2014

Ajali imetokea mombo leo hii. Coastal iliyoanguka ilikuwa na watu 25, Mungu kasaidia hakuna aliyekufa. Hongereni sana madaktari wa Magunga kwa kazi nzuri! - Mkuu wa wilaya ya Korogwe, Mrisho Gambo. 




 Tunawapa pole majeruhi wote na tunawatakia nafuu ya haraka

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »