April 01, 2014

WAZIRI CHIKAWE ATUA ZANZIBAR KUTEMBELEA IKULU, NIDA NA UHAMIAJI LEO

PIX 1 (1) 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe (kushoto) akipokelewa na Naibu Waziri wa wizara yake, Pereira Ame Silima, wakati alipotua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar leo. Kulia ni Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Hamdan Omary Makame. Waziri Chikawe amewasili Zanzibar kwa ajili ya ziara ya kikazi. (Picha zote na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi).
PIX 2 (1) 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe (kushoto) akimsalimia Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), Dickson Maimu wakati alipotua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa  wa Abeid Amani Karume Zanzibar leo. Waziri Chikawe amewasili Zanzibar kwa ajili ya ziara ya kikazi. (Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi).
PIX 3 (1) 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mathias Chikawe (wa pili kushoto) akiwa na NaibuWaziri wa wizara yake, Pereira Ame Silima (kushoto), Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), Dickson Maimu na Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Hamdan Omary Makame, katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa  wa Abeid Amani Karume Zanzibar leo Waziri Chikawe amewasili Zanzibar kwa ajili ya ziara ya kikazi. (Picha zote na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi).
PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »