Dk. Mwele Malecela, akisubili kukabishiwa nishani ya baba yake Samuel Malecela, ambaye yeye hakuwepo
Waalikwa wakiwa katika dhifa hiyo
Mkuu wa Pili wa Majeshi Nchini Jenerali Mstaafu David Musuguri, akiwasalimia makamanda baada ya kuwasili katika dhifa hiyo.
Mzee david Msuya, akisubili kukabidhiwa
M\zee Joseph Sinde Warioba au mze wa Serikali tatu, akisubili naye kukabidhi nishani
Mzee Jenerali david Musuguri akiwa amekaa sambamba na Mkuu wa kwanza wa majeshi Jenerali Mirisho Sarakikya
Tajiri namba tatu nchini Reginald Mengi, akisubili naye kukabidhiwa nishani kwa Utu wake wa kuwajari watanzania wenzake
mama Fatma Karume, akisalimiana na Mwele na kulia ni mama maria Nyerere
Mama Salma Kikwete (katikati), akiwa katika dhifa hiyo
Wapambe wa viongozi wakiwa katika dhifa hiyo
Rais Mstaafu wa zanzibar Dk, Salimin Amour, akiwasili katika dhifa hiyo
Viongozi wakiimba wimbo wa Taifa kabla ya dhifa kuanza
Rais Jakaya Kikwete naye akiimba wimbo wa taifa
Viongozi wakifuatilia majina ya watunukiwa
mama maria Nyerere, akitunukiwa
Mama Fatma karume, akitunukuwa
Mtoto wa Rais Mstaaf Ali Hassan Mwinyi akitunukiwa kwa niaba ya baba yake
Mzee William Makapa, akitunukiwa
Mwele akikabidhiwa
Mzee David Msuya, akitunukiwa
Mzee Warioba, akienda kutunukiwa
Rais Mstaafu wa Zanzibar, Aman Abeid karume, akitunukiwa
Mtoto wa Marehemu Edward Moringe Sokoine, akitunukiwa kwa niaba ya baba yake
Mzee Salim Ahemed Salim, akitunukiwa
Waziri Kiongozi Mstaafu wa Zanzizibar, akitunukiwa
Shamsi Vuai nahodha, akitunukiwa
Rais akipumzika kidogo
Mtoto wa marehemu paul Bomani, akikabidhiwa tuzo kwa niaba ya baba yake
Geroge Kahama, akikabidhiwa
Mzee Job Lusinde, akikabidhiwa
EmoticonEmoticon