JK AWAVISHA NISHANI ZA MUUNGANO MIAKA 50 IKULU DAR

April 28, 2014


 Makamanda wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa tanzania (JWTZ), wakiwa katika viwanaja vya Ikulu wakisubili kuanza kwa dhifa ya kutunuku nishani za muungano wa miaka 50



 Dk. Mwele Malecela, akisubili kukabishiwa nishani ya baba yake Samuel Malecela, ambaye yeye hakuwepo
Waalikwa wakiwa katika dhifa hiyo
Mkuu wa Pili wa Majeshi Nchini Jenerali Mstaafu David Musuguri, akiwasalimia makamanda baada ya kuwasili katika dhifa hiyo.
 Mzee david Msuya, akisubili kukabidhiwa
 M\zee Joseph Sinde Warioba au mze wa Serikali tatu, akisubili naye kukabidhi nishani

 Mzee Jenerali david Musuguri akiwa amekaa sambamba na Mkuu wa kwanza wa majeshi Jenerali Mirisho Sarakikya
 Tajiri namba tatu nchini Reginald Mengi, akisubili naye kukabidhiwa nishani kwa Utu wake wa  kuwajari watanzania wenzake

mama Fatma Karume, akisalimiana na Mwele na kulia ni mama maria Nyerere

Mama Salma Kikwete (katikati), akiwa katika dhifa hiyo
 Wapambe wa viongozi wakiwa katika dhifa hiyo
 Rais Mstaafu wa zanzibar Dk, Salimin Amour, akiwasili katika dhifa hiyo
 Viongozi wakiimba  wimbo wa Taifa kabla ya dhifa kuanza
 Rais Jakaya Kikwete naye akiimba wimbo wa taifa

 Viongozi wakifuatilia majina ya watunukiwa
 mama maria Nyerere, akitunukiwa


Mama Fatma karume, akitunukuwa

 Mtoto wa Rais Mstaaf Ali Hassan Mwinyi akitunukiwa  kwa niaba ya baba yake
Mzee William Makapa, akitunukiwa


 Mwele akikabidhiwa
Mzee David Msuya, akitunukiwa

Mzee Warioba, akienda kutunukiwa


 Rais Mstaafu wa Zanzibar, Aman Abeid karume, akitunukiwa


 Mtoto wa Marehemu Edward Moringe Sokoine, akitunukiwa kwa niaba ya baba yake
 Mzee Salim Ahemed Salim, akitunukiwa

 Waziri Kiongozi Mstaafu wa Zanzizibar, akitunukiwa
 Shamsi Vuai nahodha, akitunukiwa




 Rais akipumzika kidogo







 Mtoto wa marehemu paul Bomani, akikabidhiwa tuzo kwa niaba ya baba yake





 Geroge Kahama, akikabidhiwa
 Mzee Job Lusinde, akikabidhiwa

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »