Msafara
wa Coastal Union baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Muscat, Oman jana
kwa mwaliko wa klabu ya Fanja ya Oman. Coastal itakuwa huko Januari 23
kwa mazoezi na mechi za kujipima nguvu.
|
Wachezaji wa Coastal kutoka kulia Razack Khalfan, Jerry Santo na Haruna Moshi 'Boban' |
|
Kipa Shaaban Kado na Razack Khalfan kushoto |
|