December 31, 2013

SSRA YAJADILIANA NA JUKWAA LA WAHARIRI KUHUSU MPANGO MKAKATI WA KUPANUA WIGO WA HIFADHI YA JAMII KUPITIA ELIMU KWA UMMA

Mkurugenzi Mkuu wa SSRA Bi. Irene Isaka akiwasilisha mada kuhusu hali halisi ya sekta ya hifadhi ya jamii nchini changamoto na mafanikio


Baadhi ya wahariri wakuu wa vyombo mbalimbali vya habari nchini wakisiliza mada ikiwasilishwa na mkurugenzi mkuu wa SSRA (hayupo pichani)

Mhariri mkuu wa gazeti la Nipashe Bwana Jesse Kwayu akiuliza swali mara baada ya uwasilishwaji mada

Bi.Irene Isaka Mkurugenzi mkuu  wa SSRA akijibu swali lililoulizwa na mmoja wa Wahariri,kulia kwake Mkuu wa mawasiliano na uhamashishaji wa SSRA  Bi. Sarah Kibonde – Msika

Bi Irene Isaka Mkurugenzi Mkuu wa SSRA akisisitiza juu ya umuhimu wa vyombo vya habari katika kutoa elimu ya hifadhi ya jamii kwa wananchi,kushoto kwake Bwana Absalom Kibanda ambaye ni mkuu wa Jukwaa la Wahariri nchini na kushoto kwake ni Mkuu wa mawasilianao na uhamashishaji wa SSRA Bi. Sarah Kibonde –Msika .

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »