Na Oscar Assenga,Tanga.
BENDI ya Mziki wa Dansi nchini Mashujaa yenye makazi yake jijini Dar es Salaam
inatarajiwa kufanya onyesho la aina yake Januari 11 mwakano mkoani hapa amblo
litafanyika ukumbi wa Nyumbani Hotel.
Onyesho hilo
limeandaliwa na Kampuni ya New Face kwa kushirikiana na Mashujaa Band lenye lengo
la kuwapa burudani wakazi wa Tanga na kuzitambulisha
tuzo 5 walizopata wakati wa Kilimanjaro Music Award.
Akizungumzia maandalizi ya Onyesho hilo,Mkurugenzi
wa Kampuni ya New Face Intertainment,Maximilian Luhanga alisema kila kitu kinakwenda
kama kilivyopangwa na kinachosuburiwa na siku ya onyesho hilo kufanyika.
Luhanga alisema kuwa wasanii nguli wa band hiyo akiwemo Charles
Baba watawakonga nyoyo mashabiki wao kwa kutoa burudani ya aina yake siku hiyo wakiwa
sambamba na Furgson,

EmoticonEmoticon