umakini

June 10, 2013

 MKUU wa wilaya ya Kilindi,Suleiman Liwowo kushoto na Mkuu wa wilaya ya Handeni,Muhingo Rweymamu wakimsikiliza kwa umakini Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Luteni Mstaafu Chiku Gallawa wakati akizungumza katika kikao cha kujadili Maendeleo ya kilimo ,Umwagiliaji na Ushirika Mkoani Tanga

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »