RC Gallawa akisisitiza jambo katika kikao cha kujadili Maendeleo ya kilimo ,Umwagiliaji na Ushirika Mkoani Tanga

June 10, 2013
MKUU wa Mkoa wa Tanga,Luteni Mstaafu Chiku Gallawa  akisisitiza jambo katika kikao cha kujadili Maendeleo ya Kilimo ,Umwagiliaji na Ushirika Mkoani Tanga kilichofanyika leo katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa,kushoto kwake ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Benedict Ole Kuyan Picha kwa hisani ya blog hii.




Share this

Related Posts

Previous
Next Post »