MKUU wa wilaya ya Mkinga,Mboni Mgaza akiwahutubia wananchi wa Kijiji cha Kichalikani Kata ya Kwale leo mara baada ya wanachama wapya wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii NSSF kukabidhiwa kadi zao ambapo jumla ya wanachama wapatao 500 walikabidhiwa kadi,kushoto ni Mkurugenzi uendeshaji mfuko huo Crescentius Magori na kulia kwake ni Meneja wa Mfuko huo mkoa wa Tanga,Frank Maduga.
Share this
EmoticonEmoticon