MKUU wa wilaya ya Mkinga akimkabidhi kadi ya uanachama wa mfuko wa hifadhi ya Jamii NSSF Mkazi wa Kijiji cha Kichalikani Kata ya Kwale,kulia ni Mkurugenzi uendeshaji mfuko huo ,Crescentius Magori na kushoto ni Meneja wa Mfuko huo mkoa wa Tanga,Frank Maduga,Picha na kulia kwa Mkurugenzi aliyevaa miwani ni Mkuu wa Idara ya Uhusiano na Huduma kwa wateja NSSF Eunice Chiume,Picha na Mwandishi wetu
Share this
EmoticonEmoticon