NSSF wakabidhi kadi 500 kwa wanachama wapya wa mfuko huo Mkinga

May 23, 2013
MKURUGENZI wa Uendeshaji Mfuko wa Hifadhi ya Jamii nchini (NSSF),Crescentius Magori akisalimiana na mkazi wa kijiji cha Kichalikani Kata ya Kwale tarafa ya Mkinga leo mara baada ya kukabidhiwa kadi ya uanachama wa mfuko huo na mkuu wa wilaya ya Mkinga,Mboni Mgaza katika halfa iliyofanyika kijiji hapo ambapo jumla ya wanachama 500 walikabidhiwa kadi zao.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »