MBUNGE MWAKIOJA ASHIRIKI DALUNI MARATHON 2026

May 28, 2026



‎MKINGA,TANGA,TANZANIA-Katika mwendelezo wa kuwa karibu na wananchi wenzake wa Mkinga,Mbunge wa Jimbo la Mkinga,Mheshimiwa Mwakioja,leo asubuhi ameshiriki katika mbio za DALUNI MARATHON 2026 akiwa kama Mgeni Rasmi.

‎Katika mwendelezo wa kuwa karibu na wananchi wenzake wa Mkinga,pia alipata nafasi ya kukimbia mbio za kilometa moja na kuibuka mshindi wa mbio hizo.

‎Imetolewa na:

‎🏢 Kitengo cha Mawasiliano,

‎📍 Ofisi ya Mbunge,Jimbo la Mkinga.

‎#Mkinga.#DaluniMarathon2026. #MabadilikoKwaMaendeleo.#Mwakioja.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »