Bukombe Tuna Jambo Letu
Ni uzinduzi wa kampeni za Uchaguzi Mkuu 2025 Mkoa wa Geita utakaofanyika katika Uwanja wa Mwenge - Kata ya Uyovu- Siku ya Jumanne, Tarehe 2 Septemba 2025.
Shime watu wema wa Bukombe tujitokeze kwa wingi kusikiliza sera za Dkt. Doto Mashaka Biteko na wagombea wengine wote wa CCM 2025-2030.
#ChaguaCCM
#OktobaTunatiki
#MchagueSamia
#MchagueBiteko
#KusemaNaKutenda
#KaziNaUtuTunasongaMbele
EmoticonEmoticon