Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika na Mkuu wa Utawala Ofisi ndogo ya CCM Makao Makuu Lumumba jijini Dar Es Salaam, Ndugu Salehe Mbwana Muhando, leo Jumatatu Juni 30,2025 amechukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Kilindi,mkoani Tanga,kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu ujao.
SALEHE MHANDO ACHUKUA FOMU KUGOMBEA JIMBO LA KILINDI MKOANI TANGA
Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika na Mkuu wa Utawala Ofisi ndogo ya CCM Makao Makuu Lumumba jijini Dar Es Salaam, Ndugu Salehe Mbwana Muhando, leo Jumatatu Juni 30,2025 amechukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Kilindi,mkoani Tanga,kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu ujao.
EmoticonEmoticon