Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akishiriki UDS Marathon iliyoandaliwa kwa ajili ya kuboresha mazingira ya Wanafunzi chuoni hapo kushoto ni Rais Mstaafu awamu ya nne na Mkuu wa Chuo hicho, Dkt. Jakaya Kikwete, Kulia ni Makamu Mkuu wa chuo hicho Profesa William Anangisye Jijini Dar es Salaam
EmoticonEmoticon