MAJALIWA AMKARIBISHA ZUHURA YUNUS OFISI YA WAZIRI MKUU

June 14, 2024

  

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Zuhura Yunus, mara baada ya Zuhura kuapishwa na Rais Samia Suluhu Hassan kushika nafasi hiyo jana, Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Zuhura amepandishwa cheo kutoka nafasi yake ya awali ya Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »