14 WATEULIWA KUWANIA UDIWANI KATA YA KIMBIJI KIGAMBONI

March 04, 2024

Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi Kata ya Kimbiji, Bw. Ricky Pascal na Bi. Twidike Ntwima wakibandika fomu za utezi wa wagombea wa udiwani Kata ya Kimbiji leo baada ya muda wa uteuzi kumalika Saa 10:00 jioni ya Machi 4,2025. Wagombea 14 waliochukua fomu wameteuliwa kuwania nafasi hiyo. 
Wagombea wa Udiwani Kata ya Kimbiji wakitazama fomu za uteuzi zilizobandikwa katika ubao wa Matangazo katika Ofisi za Kata ya Kimbiji. Wagombea 14 waliochukua fomu wameteuliwa kuwania nafasi hiyo. 
Wagombea wa Udiwani Kata ya Kimbiji wakitazama fomu za uteuzi zilizobandikwa katika ubao wa Matangazo katika Ofisi za Kata ya Kimbiji. 
Wagombea 14 waliochukua fomu wameteuliwa kuwania nafasi hiyo. 

Wagombea wakikabidhiwa fomu zao za uteuzi baada ya Tume kuwateua kuwa wagombea udiwani Kata ya Kimbiji katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigamboni Mkoani Dares Salaam wamerejesha fomu na kuteuliwa kuwania nafasi hiyo katika uchaguzi Mfogo wa udiwani uyakaofanyika Machi 20,2024.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »