MABINGWA WA KOMBE LA MAPINDUZI CUP 2024/2025 TIMU YA MLANDEGE YATINGA IKULU ZANZIBAR

January 24, 2024



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi katikati akipokea Kombe la Mapinduzi kutoka kwa Mfadhili wa Timu ya Mlandege Ndg.Abdulsatar Daudi baada ya kuifunga Timu ya Simba Sport 1-0 mchezo wa Fainal uliochezwa uwanja wa Amani Complex ,wakati wa hafla ya Chakula cha Usiku alichowandalia timu hiyo na Kamati ya maandalizi ya Sherehe za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar jana Ikulu Zanzibar (kulia) Rais wa timu ya Mlandege Kamal Abdulsatar Daudi na Hussein Abdulsatar Daudi.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikatri) akiteta jambo na Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemedi Suleiman Abdulla katika viwanja vya Ikulu katikati hafla ya Chakula cha Usiku alichowaandalia Kamati ya maandalizi ya Sherehe za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar pamoja na Timu ya Mlandege kwa kuchukua Kombe la Mapinduzi walipoishinda Timu ya Simba Sport 1-0 mchezo wa Fainal uliochezwa uwanja wa Amani Complex (kulia) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi alipokuwa akitoa Shukurani zake kwa Makampuni,wafadhili na wananchi mbali mbali kwa michango yao katika viwanja vya Ikulu wakati hafla ya Chakula cha Usiku alichowaandalia Kamati ya maandalizi ya Sherehe za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar pamoja na Timu ya Mlandege kwa kuchukua Kombe la Mapinduzi walipoishinda Timu ya Simba Sport 1-0 mchezo wa Fainal uliochezwa uwanja wa Amani Complex

Wachezaji wa Timu ya Mlandege na Viongozi wao wakiwa na Kombe la Mapinduzi walilolipata katika mchezo wa Fainali ya sherehe za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kwa kuifunga Timu ya Simba Sport kwa 1-0, katikati hafla ya Chakula cha Usiku walichoandaliwa pamoja na Kamati ya maandalizi ya Sherehe za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika viwanja vya Ikulu ya Zanzibar

Baadhi ya Wananchi walioalikwa katika hafla ya Chakula cha Usiku walichoandaliwa Kamati ya maandalizi ya Sherehe za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika viwanja vya Ikulu ya Zanzibar jana na Timu ya Mlandege kwa kutwa Kombe la Mapinduzi walilolipata katika mchezo wa Fainali ya sherehe za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kwa kuifunga Timu ya Simba Sport kwa 1-0,katika mchezo uliochewa Uwanja wa Amani Complex Zanzibar

Wachezaji wa Timu ya Mlandege Sports Club wakiwa katikati hafla ya Chakula cha Usiku kilichowaandaliwa kwa kupongezwa Timu hiyo kwa kuchukua la Kombe la Mapinduzi walipoishinda Timu ya Simba Sport 1-0 katika mchezo wa Fainal uliochezwa uwanja wa Amani Complex na Kamati ya maandalizi ya Sherehe za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika sherehe za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar. [Picha na Ikulu] 22/01/2024.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »