BALOZI MDOGO WA CHINA AMEMUAGA KWA RAIS MWINYI

January 29, 2024



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussei Ali Mwinyi (kulia) akisalimiana na Balozi Mdogo wa China hapa Zanzibar Mhe.Zhang Zhisheng, wakati alipofika kumuaga Rais, Ikulu Jijini Zanzibar leo akiwa amemaliza muda wake wa kazi hapa Nchini.



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussei Ali Mwinyi (katikati) akizungumza na Balozi Mdogo wa China hapa Zanzibar Mhe.Zhang Zhisheng (wa pili kushoto) alipofika kuaga Ikulu Jijini Zanzibar leo akimaliza muda wake wa kazi hapa nchini.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussei Ali Mwinyi (kulia) akimsikiliza Balozi Mdogo wa China hapa Zanzibar Mhe.Zhang Zhisheng, wakati wa mazungumzo yao leo alipofika kumuaga Ikulu Jijini Zanzibar akimaliza muda wake wa kazi .



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussei Ali Mwinyi (kulia) akizungumza na Balozi Mdogo wa China hapa Zanzibar Mhe.Zhang Zhisheng, leo alipofika kuaga Ikulu Jijini Zanzibar akimaliza muda wake wa kazi .



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussei Ali Mwinyi (kulia) akimkabidhi zawadi ya Mlango wa Zanzibar Balozi Mdogo wa China hapa Zanzibar Mhe.Zhang Zhisheng, baada ya mazungumzo yao leo alipofika kuaga Ikulu Jijini Zanzibar akimaliza muda wake wa kazi .



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussei Ali Mwinyi (kulia) akiwa katika picha na Balozi Mdogo wa China hapa Zanzibar Mhe.Zhang Zhisheng baada ya mazungumzo yao leo alipofika kuaga Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »