RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK.HUSSEIN MWINYI AWASILI NCHINI AKITOKEA NCHINI QATAR ALISHIRIKI JUKWAA LA DOHA (DOHA FORUM)

December 13, 2023









RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe Hemed Suleiman Abdulla,Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Kitwana Mustafa na Mstahiki Meya wa Jiji la Zanzibar Mhe Mahmoud Muhammed Mussa, alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar akitokea Nchini Qatar,baada ya kumalizika kwa Jukwaa la Doha (Doha Forum) lililofanyika Jijini Doha, alimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan.



RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakisalimiana na Wazee wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar alipowasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar akitokea Nchini Qatar,baada ya kumalizika kwa Jukwaa la Doha (Doha Forum) lililofanyika Jijini Doha, alimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan.(Picha na Ikulu)

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »