Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Majaji Wakuu wa
Nchi za Kusini na Mashariki Mwa Afrika (SEACJF) pamoja na wageni mbalimbali
waliohudhuria Mkutano wa Mwaka wa Majaji hao katika hoteli ya Mount Meru Jijini
Arusha tarehe 23 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi ya Picha ya
Majaji Wakuu wa Nchi za Kusini na Mashariki Mwa Afrika kutoka kwa Mwenyekiti wa
Jukwaa hilo ambaye pia ni Jaji Mkuu wa Namibia Mhe. Peter Shivute wakati wa Mkutano
huo uliofanyika katika Hoteli ya Mount Meru Jijini Arusha tarehe 23 Oktoba,
2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi ya Picha ya Majaji Wakuu wa Nchi za Kusini na Mashariki Mwa Afrika kutoka kwa Mwenyekiti wa Jukwaa hilo ambaye pia ni Jaji Mkuu wa Namibia Mhe. Peter Shivute wakati wa Mkutano huo uliofanyika katika Hoteli ya Mount Meru Jijini Arusha tarehe 23 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akinyanyua juu zawadi ya picha ya Majaji Wakuu wa Nchi za Kusini na Mashariki Mwa Afrika mara baada ya kukabidhiwa na Mwenyekiti wa Jukwaa hilo ambaye pia ni Jaji Mkuu wa Namibia Mhe. Peter Shivute wakati wa mkutano uliofanyika katika Hoteli ya Mount Meru Jijini Arusha tarehe 23 Oktoba, 2023
![]() |
Viongozi pamoja na Wageni mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Jukwaa la Majaji Wakuu wa Nchi za Kusini na Mashariki Mwa Afrika (SEACJF) uliofanyika katika Hoteli ya Mount Meru Jijini Arusha tarehe 23 Oktoba, 2023.
Viongozi pamoja na Wageni mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Jukwaa la Majaji Wakuu wa Nchi za Kusini na Mashariki Mwa Afrika (SEACJF) uliofanyika katika Hoteli ya Mount Meru Jijini Arusha tarehe 23 Oktoba, 2023.

Viongozi pamoja na
Wageni mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Jukwaa la Majaji Wakuu
wa Nchi za Kusini na Mashariki Mwa Afrika (SEACJF) uliofanyika katika Hoteli ya
Mount Meru Jijini Arusha tarehe 23 Oktoba, 2023.
Viongozi pamoja na
Wageni mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Jukwaa la Majaji Wakuu
wa Nchi za Kusini na Mashariki Mwa Afrika (SEACJF) uliofanyika katika Hoteli ya
Mount Meru Jijini Arusha tarehe 23 Oktoba, 2023.

EmoticonEmoticon