WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI AJITAMBULISHA KWA RAIS DR.MWINYI.

September 11, 2023

 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Januari Makamba (wa pili kulia) alipofika kujitambulisha na Ujumbe wake wa Uongozi mpya wa Wizara hiyo Ikulu Jijini Zanzibar leo.[Picha na Ikulu] 11/09/2023 .
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akizungumza na Uongozi mpya wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki uliongozwa na Mhe.Januari Makamba (wa pili kulia) alipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo kujitambulisha na Ujumbe wake..[Picha na Ikulu] 11/09/2023 .

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »