CHATANDA-RAIS DKT SAMIA AMEDHAMIRIA KULETA MAGEUZI MAKUBWA YA KIUCHUMI

July 16, 2023
MWENYEKITI wa UWT Taifa Ndugu Mary Chatanda  akizungumza katika Mkutano wa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo
MWENYEKITI wa UWT Taifa Ndugu Mary Chatanda  akizungumza katika Mkutano wa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo
MWENYEKITI wa UWT Taifa Ndugu Mary Chatanda  akizungumza katika Mkutano wa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo




Na Mwandishi Wetu,Mtwara


MWENYEKITI wa UWT Taifa Ndugu Mary Chatanda  ameshiriki Mkutano wa Hadhara ulioandaliwa n Katibu Mkuu wa CCM, Cde Daniel Chongolo huku akiutumia kuwaeleza wananchi wa mkoa wa Mtwara  kazi kubwa iliyofanywa na Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu.

Chatanda alisema kwamba Rais Dkt Samia Suluhu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taifa wa Chama hicho amefanya kazi kubwa ya maendeleo hapa nchini ikiwemo mkoani Mtwara kwa kuwapelekea maendeleo wananchi na kuifungua nchi kiuchumi.

Mwenyekiti huyo alitumia mkutano huo kuwataka wananchi wa Mtwara na Tanzania  kwa ujumla kutembea kifua mbele maana Rais wao ni makini, msikivu na amedhamiria kuleta mageuzi makubwa ya kiuchumi na maendeleo nchini Tanzania.


Uwanja wa Nangwanda Sijaona: Mkoani Mtwara (16/7/2023)

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »