MAKAMU WA PILI WA RAIS MH ABDULLA AFIKA NYUMBANI KWA MH OTHUMAN MASOUD KUMPA POLE KUFUATIA KIFO CHA DADA YAKE

May 23, 2023

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amefika Chukwani nyumbani kwa Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman kumpa pole kufuatia kifo cha Dada yake Bi Mkali Masoud Othman aliefariki jana Jumatatu 22 Mei, 2023 katika Hospitali ya Rufaa ya Mnazi Mmoja,Innaa Lillaahi wainnaa Ilaihi Raajiun 

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amefika Chukwani nyumbani kwa Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman kumpa pole kufuatia kifo cha Dada yake Bi Mkali Masoud Othman aliefariki jana Jumatatu 22 Mei, 2023 katika Hospitali ya Rufaa ya Mnazi Mmoja.


Innaa Lillaahi wainnaa Ilaihi Raajiun 


Imetolewa na Kitengo cha Habari (OMPR)

23 Mei, 2023

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »