RAIS DK.SHEIN AONGOZA MKUTANO WA MABALOZI WA WILAYA YA KASKAZINI “A’ UNGUJA

May 06, 2018

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kaskazini “A” Bw.Ali Makame alipowasili katika Ofisi ya CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja katika Mkutano wa Mabalozi wa Wilaya ya Kaskazini “ A” CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja uliofanyika leo –Mahonda
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya UWT Taifa Mhe.Thuwaiba Edington Kisasi alipowasili katika Ofisi ya CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja katika Mkutano wa Mabalozi wa Wilaya ya Kaskazini “ A” CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja uliofanyika leo –Mahonda
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya UWT Taifa Mhe.Thuwaiba Edington Kisasi (kushoto) Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe,Iddi Ali Ameir,Mkuu wa Mkoa Kaskazini Unguja Mhe.Vuai Mwinyi Mohamed (kulia) na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanziar Dk.Abdalla Juma Saadala (Mabodi) wakisimama wakati ulipoimbwa Wimbo wa “Sisi Sote Tumegomboka” katika Mkutano wa Mabalozi wa Wilaya ya Kaskazini “ A” CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja uliofanyika leo katika Ukumbi wa CCM–Mahonda
Baadhi ya Mabalozi wakiimba Wimbo wa “Sisi Sote Tumegomboka” katika Mkutano wa Mabalozi wa Wilaya ya Kaskazini “ A” CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja uliofanyika leo katika Ukumbi wa CCM–Mahonda mgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na katika Mkutano wa Mabalozi wa Wilaya ya Kaskazini “ A” CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja uliofanyika leo katika Ukumbi wa CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja–Mahonda(kushoto) Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe,Iddi Ali Ameir,
Baadhi ya Wajumbe wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Zanzibar (NEC),Washauri wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na Viongozi wengine wakiwa katika Mkutano wa Mabalozi wa Wilaya ya Kaskazini “ A” CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja uliofanyika leo katika Ukumbi wa CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja–Mahonda
Mabalozi wa Wilaya ya Kaskazini “ A”Mkoa wa Kaskazini Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein wakati alipozungumza nao leo katika Mkutano wa Kuimarisha Chama cha Mapinduzi katiika Mkoa huo katika Ukumbi wa CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja-Mahonda
Mabalozi wa Wilaya ya Kaskazini “ A”Mkoa wa Kaskazini Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein wakati alipozungumza nao leo katika Mkutano wa Kuimarisha Chama cha Mapinduzi katiika Mkoa huo katika Ukumbi wa CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja-Mahonda,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Wazee wa Wilaya ya Kaskazini “A” leo Bi,Siti Ali Haji jimbo la Kijini (kulia) na Mzee Makame Haji –Chaani (katikati) baada ya Mkutano wa Mabalozi wa Wilaya ya Kaskazini “ A” CCM Mkoa wa Kaskazini Unguja uliofanyika katika Ukumbi wa Jengo la CCM Mkoa wa Kaskazini –Mahonda

Picha na Ikulu

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »