DK. KIGWANGALLA ASEMA NA WANANCHI WA JIMBO LAKE, AAHIDI KUSHUGHULIKIA KERO ZAO

May 03, 2018


Mbunge wa Nzega Vijijini ambaye pia ni Waziri wa Maliasili na Utalii ambaye, Dk. Hamisi Kigwangalla akisalimiana na wananchi wa kata ya Nkimiziwa jimboni humo aliposhiriki maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani katika wilaya ya Nzega mkoani Tabora juzi. Akiwa jimboni humo alitembelea pia kata ya Ndala ambapo alikuwa mgeni rasmi katika sherehe za Mei Mosi.
Mbunge wa Nzega Vijijini ambaye pia ni Waziri wa Maliasili na Utalii ambaye, Dk. Hamisi Kigwangalla akizungumza na wananchi na viongozi wa chama na Serikali wa kata ya Nkimiziwa jimboni humo aliposhiriki maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani katika wilaya ya Nzega mkoani Tabora juzi ambapo aliwataka viongozi wa chama na Serikali ngazi ya vijiji, kata, wilaya hadi mkoa kuwasilisha kwake kero za wananchi wa jimbo lake ili aweze kuzitafutia ufumbuzi.

Mbunge wa Nzega Vijijini ambaye pia ni Waziri wa Maliasili na Utalii ambaye, Dk. Hamisi Kigwangalla akizungumza na wananchi na viongozi wa chama na Serikali wa kata ya Nkimiziwa jimboni humo aliposhiriki maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani katika wilaya ya Nzega mkoani Tabora juzi ambapo aliwataka viongozi wa chama na Serikali ngazi ya vijiji, kata, wilaya hadi mkoa kuwasilisha kwake kero za wananchi wa jimbo lake ili aweze kuzitafutia ufumbuzi.


Mbunge wa Nzega Vijijini ambaye pia ni Waziri wa Maliasili na Utalii ambaye, Dk. Hamisi Kigwangalla akizungumza na wananchi na viongozi wa chama na Serikali wa kata ya Nkimiziwa jimboni humo aliposhiriki maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani katika wilaya ya Nzega mkoani Tabora juzi ambapo aliwataka viongozi wa chama na Serikali ngazi ya vijiji, kata, wilaya hadi mkoa kuwasilisha kwake kero za wananchi wa jimbo lake ili aweze kuzitafutia ufumbuzi.
Mbunge wa Nzega Vijijini ambaye pia ni Waziri wa Maliasili na Utalii ambaye, Dk. Hamisi Kigwangalla akisalimiana na wananchi wa kata ya Nkimiziwa jimboni humo aliposhiriki maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani katika wilaya ya Nzega mkoani Tabora juzi. Akiwa jimboni humo alitembelea pia kata ya Ndala ambapo alikuwa mgeni rasmi katika sherehe za Mei Mosi.
Mbunge wa Nzega Vijijini ambaye pia ni Waziri wa Maliasili na Utalii ambaye, Dk. Hamisi Kigwangalla akishiriki kwenye maandamano na wananchi, viongozi wa chama na Serikali wa kata ya Nkimiziwa jimboni humo wakati wa maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani katika wilaya ya Nzega mkoani Tabora juzi.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »