MWANANKE NDIO ANAYETENGENEZA DUNIA -RC SHIGELLA

March 10, 2018
 
MKUU wa Mkoa wa Tanga,Martine Shigella amesema wanawake ndio wanaitengeneza dunia hivyo wanahitaji kuungwa mkono ili waweze kufikia malengo yao ya kuweza kujikwamua kiuchumi wao na jamii zao.


Share this

Related Posts

Previous
Next Post »