Waziri wa Maliasili na
Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla (wa tatu kushoto) na Naibu Waziri wa Wizara
hiyo, Japhet Hasunga (kushoto) wakiongoza maandamano ya kuadhimisha siku ya
Wanyamapori Duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani Dodoma juzi. Kauli mbiu ya
maadhimisho hayo mwaka huu ni “Wanyamapori jamii ya Paka wamo hatarini
kutoweka- TUWALINDE”. (Picha na Hamza
Temba-WMU).