WAZIRI MKUU AKUTANA NA RAIS WA FIFA

February 22, 2018

PMO_8628
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipokea Bandera ya FIFA kutoka kwa Rais wa Shirikisho  la Mpira Duniani(FIFA)Bwana Gianni Infantino katika mkutano na waandishi wa Habari  uliofanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu. leo February 22/2017Jijini Dar es salaam Tanzania
PMO_8673
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipokea Jezi namba Tisa kutoka kwa Rais wa Shirikisho  la Mpira Duniani(FIFA)Bwana Gianni Infantino katika mkutano na waandishi wa Habari  uliofanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu. leo February 22/2017Jijini Dar es salaam Tanzania
PMO_8613
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimkabidhi zawadi ya Kinyango Rais wa Shirikisho  la Mpira Duniani(FIFA)Bwana Gianni Infantino katika mkutano na waandishi wa Habari  uliofanyika Ofisini kwa Waziri Mkuu. leo February 22/2017Jijini Dar es salaam Tanzania
PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU 

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »