MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MZEE KINGUNGE

February 05, 2018
 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisaini kitabu cha kumbukumbu cha maombolezo ya msiba  wa Kingunge Ngombale Mwiru kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam muda mfupi kabla ya kutoa heshima za mwisho. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)  
 Rais Mstaafu wa Serikali ya awamu ya pili, Alhaji Alli Hassan Mwinyi akisaini kitabu cha kumbukumbu cha maombolezo ya msiba  wa Kingunge Ngombale Mwiru kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam muda mfupi kabla ya kutoa heshima za mwisho.
 Rais Mstaafu wa Serikali ya awamu ya pili, Alhaji Alli Hassan Mwinyi akitoa heshima zake mara baada ya kumaliza kusaini kitabu cha kumbukumbu cha maombolezo ya msiba  wa Kingunge Ngombale Mwiru kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam muda mfupi kabla ya kutoa heshima za mwisho.
 Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha kumbukumbu cha maombolezo ya msiba  wa Kingunge Ngombale Mwiru kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam muda mfupi kabla ya kutoa heshima za mwisho.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoa heshima ya mwisho mbele ya jeneza lililobeba mwili wa mwanasiasa mkongwe na kiongozi wa muda mrefu marehemu Kingunge Ngombale Mwiru kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam.  
 Mama Maria Nyerere akiwasili katika viwanja vya Karimjee
 Baadhi ya viongozi wa kiserikali na chama wakiwa  katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam wakati wa tukio la kuagwa kwa mwili wa Kingunge Ngombale Mwiru
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mama Maria Nyerere wakati wa kutoa heshima za mwisho katika viwanja vya Karimjee. 
Mwili wa Marehemu Kingunge Ngombale Mwiru  ukiwasili kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuagwa leo
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan pamoja na baadhi ya viongozi wa kiserikali na chama wakiwa  katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam wakati wa tukio la kuagwa kwa mwili wa Kingunge Ngombale Mwiru
 Baadhi ya wanafamilia wa Marehemu Kingunge Ngombale Mwiru wakiwa katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam wakati wa tukio la kuagwa kwa mwili wa Kingunge Ngombale Mwiru
 Jeneza lililobeba mwili wa Marehemu Kingunge Ngombale Mwiru likiwa kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuagwa leo
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimpa mkono wa pole mtoto wa kiume wa marehemu Kingunge anayefahamika kwa jina la Kinjekitile mara baada ya kutoa heshima za mwisho katika viwanja vya Karimjee.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »