Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na Dkt Donald Kaberuka,
Mjumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Rwanda Mhe. Paul Kagame (kushoto kwa
Rais), katika mazungumzo yaliyohudhuriwa pia na Waziri Mkuu Mhe. Kassim
Majaliwa, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Mhe. Dotto James na
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Uwekezaji Profesa Adolf Mkenda Ikulu
jijini Dar es salaam leo Alhamisi Januari 25, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika picha ya pamoja na Dkt. Donald
Kaberula, Mjumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Rwanda Mhe. Paul Kagame na
ujumbe wake pamoja na na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Katibu Mkuu
Wizara ya Fedha na Mipango, Mhe. Dotto James na Katibu Mkuu Wizara ya
Viwanda na Uwekezaji Profesa Adolf Mkenda Ikulu jijini Dar es salaam leo
Alhamisi Januari 25, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Dkt. Donald Kaberuka,
Mjumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Rwanda Mhe. Paul Kagame, huku Waziri
Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akishuhudia baada ya mazungumzo yao Ikulu
jijini Dar es salaam leo Alhamisi Januari 25, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimlaki Balozi wa Zimbabwe
aliyemaliza muda wake nchini Mhe. Edzai A.C. Chimonyo aliyefika kumuaga
rasmi Ikulu jijini Dar es salaam leo Alhamisi Januari 25, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na Balozi wa Zimbabwe
aliyemaliza muda wake nchini Mhe. Edzai A.C. Chimonyo aliyefika kumuaga
rasmi Ikulu jijini Dar es salaam leo Alhamisi Januari 25, 2018
PICHA NA IKULU