Wakristo Jijini Mwanza Waungana Kusherekea Sikukuu ya Krismasi 2017

December 25, 2017
Ni jumatatu Disemba 25,2017 ambapo Wakristo kote duniani wanaungana pamoja kusherekea Sikukuu ya Krismasi ambayo ni kuzaliwa kwa Yesu Kristo zaidi ya miaka 2000 iliyopita. Ungana nasi kupata salamu za Krismasi kutoka Jijini Mwanza. https://youtu.be/GxpMocc9swc

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »