SSRA MWAJIRI BORA SEKTA YA UMMA

December 19, 2017

2017-12-14-PHOTO-00000003
Baadhi ya Wafanyakazi wa SSRA wakiwa kwenye meza ya SSRA wakati  hafla ya utoaji Tuzo za Mwajiri Bora wa Mwaka 2017 zilizotolewa na Chama cha Waajiri Nchini (ATE) Jijini Dar es Salaam.
2017-12-14-PHOTO-00000006
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Uhamasishaji wa SSRA Bi. Sarah Kibonde Msika akiwa kwenye Meza ya SSRA  wakati wa hafla ya utoaji Tuzo za Mwajiri Bora wa Mwaka 2017 zilizotolewa na Chama cha Waajiri Nchini (ATE) Jijini Dar es Salaam.
IMG_1352
Watumishi wa SSRA wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kuibuka mshindi wa jumla kwa Taasisi za Umma katika hafla ya utoaji Tuzo za Mwajiri Bora wa Mwaka 2017 zilizotolewa na Chama cha Waajiri Nchini (ATE) Jijini Dar es Salaam.
IMG_3959
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge,Ajira, Kazi, Vijana na Walemavu Mh Jenista Mhagama akikabidhi kwa SSRA Tuzo ya Mwajiri Bora kwa Mwaka 2017. Anayepokea ni Mkurugenzi wa SSRA Bi Lightness Mauki.
IMG_3960
Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge,Ajira, Kazi, Vijana na Walemavu Bw. Eric Shitindi akikabidhi kikombe kwa SSRA baada ya kuibuka mwajiri bora wakati wa hafla ya utoaji wa tuzo za Mwajiri bora wa Mwaka 2017 zilizotolewa hivi karibuni na Chama cha Waajiri Nchini (ATE) jijini Dar es Salaam. Anayepokea ni Mkurugenzi wa SSRA Bi. Lightness Mauki

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »