MDAU EXAUD MTEI WA HABARI24 BLOG APATA NONDO YA ELIMU YA JUU

November 27, 2017
Mkurugenzi Mkuu wa Habari 24 Bw. Exaud Mtei akiwa katika pozi, mapema jana katika maafari yaliyofanyika Chuo cha Ustawi wa Jamii Kijitonyama jijini Dar es salaamii.


Chuo cha ustawi wa jamii siku ya juzi kimefanya maafali yake ya 41 toka kuanzishwa kwake, na wameweza kuhitimu wanafunzi zaidi ya 300 kwa siku hiyo na mmoja wapo akiwa ni Mkurugenzi Mkuu wa Habari 24 Media bw. Exaud Mtei.

Wahitimu wakisikiliza kwa umakini hotuba mgeni rasmi.
Muhitimu wa Shahada ya Ustawi wa Jamii Bw. Exaud Mtei akisherehekea siku ya maafari pamoja na wadau  kutoka media rafiki na Habari 24, kama East Afrika tv na Full Habari Media.
Mkurugenzi Mkuu wa Habari 24 Media Exaud Mtei akipewa hongera na Mkurugenzi mtendaji wa Full Habari Ndugu. Selemani Magari mapema jana jijini Dar es salaam
Mkurugenzi wa Habari 24 Bw. Exaud Mtei akiwa katika picha ya pamoja na familia yake na wa mwisho kulia ni Selemani Magari Mkurugenzi wa Full Habari Media. 

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »