WAZIRI MPINA AFANYA KIKAO NA WATUMISHI WA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI

October 18, 2017
Sehemu ya watumishi wa Wizara ya Mifugo na uvuvi kutoka katika sekta ya uvuvi wakiwa katika kikao pamoja na Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Luhaga Mpina­­­­­­ mbele kulia na Naibu Waziri Mhe. Abdalah Ulega. Kikao hicho kimefanyika katika Ofisi za Wizara hiyo zilizopo Jijinini Dar es Salaam.
Katika Picha katikati ni Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina, kulia kwake ni Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Abdalah Ulega,Kulia ni katibu Mkuu wa Mifugo Dkt. Maria Mashingo na katibu Mkuu uvuvi Dkt. Yohana Budeba wakiongea na watumishi wa sekta ya Uvivi katika Ofisi za Wizara hiyo jijini Dar es Salaam. (Picha na Mpiga Picha Maalum)

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »