MWENGE WA UHURU WAZINDUA DUKA LA BIMA YA AFYA LA HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA

October 03, 2017
 Sehemu ya muonekana kwa ndani duka la Bima ya Afya la Halmashauri ya Jiji la Tanga
Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Ally Mwakababu akiwa nje ya duka hilo akisubiri mapokezi ya mwenge wa uhuru kwenye duka hilo
 Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Ally Mwakababu kushoto akiwa na watumishi wa mfuko huo mara baada uzinduzi wa duka hilo katikati ni Macrina Clemence ambaye ni Afisda Matekelezo wa Mfuko huo na kulia ni Daktari Luiza Mtafi 
 Sehemu ya watumishi wa NHIF Mkoani Tanga katikati ni daktari Luiza Mtafi kushoto ni Afisa Madai NHIF Mary Daniel na kulia ni Afisa Matekelezo,Macrina Clemence
Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoani Tanga (NHIF) Ally Mwakababu kulia akiwa kwenye picha ya pamoja na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu wakifuatilia uzinduzi huo

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »