DC MTATURU ALAMBA DUME ASHINDA UJUMBE WA MKUTANO MKUU CCM TAIFA

October 08, 2017
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Mhe Miraji Jumanne Mtaturu akionyesha namba yake ya ushiriki ambayo ni namba 6 mara baada ya kuzungumza mbele ya wajumbe kuwaomba kura
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Mhe Miraji Jumanne Mtaturu akitumia haki yake ya kikatiba ya kupiga kura kwa mujibu wa katiba ya CCM
Baadhi ya wajumbe wa mkutano Mkuu wa CCM Wilaya ya Ikungi wakifatilia mkutano huo uliomalizika kwa salama na amani

Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Mhe Miraji Jumanne Mtaturu akizungumza wakati akiomba kura kabla ya kuchaguliwa kwa kishindo. katika nafasi ya Ujumbe wa Mkutano Mkuu CCM Taifa.
Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Mhe Miraji Jumanne Mtaturu (Katikati) akiwa na Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi Mhe Elibariki Kingu (Kushoto) na Mwenyekiti aliyemaliza muda wake leo Ndg Hassan Tati wakifatilia mkutano Mkuu wa CCM

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »